Nabawiyya Musa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha ya Nabawiyya Mohamed Musa Badawia
Picha ya Nabawiyya Mohamed Musa Badawia

Nabawiyya Musa[1] (kwa Kiarabu: نبوية موسى محمد بدوية; Disemba 17, 1886 - April 30, 1951) alikuwa mwanaharakati wa kutetea haki za wanawake kutokea Misri[2] pia anajulikana kama mwanzilishi wa wanaharakati wa Misri katika karne ya 20.[3] Kazi zake na maisha kwaujumla hujadiliwa pamoja na takwimu za watu kama Huda Sharawi na MAlak Hifni Nasif,

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "نبوية موسى.. "الأستاذة"". www.albawabhnews.com. 2018-03-07. Iliwekwa mnamo 2022-03-04. 
  2. ""نبوية موسى" أول امرأة مصرية تحصل على البكالوريا". بوابة الفجر (kwa ar-eg). 2017-05-25. Iliwekwa mnamo 2022-03-04. 
  3. "Feminism in Islam". UK (kwa Kiingereza). Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2022-03-04. Iliwekwa mnamo 2022-03-04. 
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nabawiyya Musa kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.