Naana Eyiah Quansah

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Naana Eyiah Quansah
Naana Eyiah Quansah

Naana Eyiah Quansah ni mwanasiasa wa Ghana na mwanachama wa New Patriotic Party. Kwa sasa ni mbunge wa eneo la jimbo la Gomoa ya Kati [1][2][3]

Maisha ya Awali na Elimu[hariri | hariri chanzo]

Quansah alizaliwa tarehe 17 Februari 1963 katika eneo la nchini Ghana..[4]

Maisha Binafsi[hariri | hariri chanzo]

Quansah ni Mkristo mwenye ndoa ya Mtoto mmoja..[5]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

People.svg Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Naana Eyiah Quansah kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.