Munir El Haddadi
Mandhari

Munir El Haddadi (anajulikana kama Munir; alizaliwa 1 Septemba 1995) ni mchezaji wa soka wa Hispania ambaye anacheza kama mshambuliaji wa klabu ya Barcelona F.C..[1][2]
Kazi ya klabu
[hariri | hariri chanzo]Munir alianza kazi yake katika timu ya vijana wa Atlético Madrid kabla ya kuhamia Barcelona mwaka 2011, ambako alishinda mechi ya Ligi ya Vijana msimu wa mwaka 2013-14 UEFA.[3]
Alicheza kwa mara ya kwanza kwa timu B mwezi Machi 2014, na alifunga goli mechi yake ya kwanza kwa timu yake mwezi Agosti mwaka huo, mwanzoni mwa msimu ambao walishinda.[4]
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "RCD Mallorca vs Barcelona B". Soccerway. Iliwekwa mnamo 3 Machi 2014.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ "Barcelona B vs Girona FC". Marca. Iliwekwa mnamo 19 Aprili 2014.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ "Five facts about Arsenal linked Munir El Haddadi". Hereisthecity. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 3 Machi 2014. Iliwekwa mnamo 3 Machi 2014.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ "Munir tripping the light fantastic". FIFA. 9 Septemba 2014. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 12 Septemba 2014. Iliwekwa mnamo 15 Machi 2016.
{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
| Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Munir El Haddadi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |