Msimbo nchi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Misimbo nchi ya Australia na Pasifiki.

Msimbo nchi (kwa Kiingereza: country code) ni msimbo mfupi wenye herufi na namba unaotumika ili kuwakilisha nchi na maeneo mengine.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).