Msikiti wa Ijumaa, Mji Mkongwe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Msikiti wa Ijumaa ni msikiti uliopo Mji Mkongwe, Zanzibar, Tanzania.

Msikiti huo ulikarabatiwa kabisa mwaka wa 1994 kwa mtindo wa kisasa wa arabesque.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]