Monica Ngenzi Mbega
Monica Ngenzi Mbega (amezaliwa 22 Aprili 1956) alikuwa mbunge wa jimbo la Iringa Mjini katika bunge la kitaifa nchini Tanzania.[1]
Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Mengi kuhusu Monica Ngenzi Mbega (13 Julai 2006). Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-10-20. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
![]() |
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |