Monica Ngenzi Mbega

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Monica Ngenzi Mbega (amezaliwa 22 Aprili 1956) alikuwa mbunge wa jimbo la Iringa Mjini katika bunge la kitaifa nchini Tanzania.[1]

Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Monica Ngenzi Mbega". 13 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-20. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.