Mlima Serbal

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Peninsula ya Kusini mwa Sunai, Gebel Nakús au mlima wa kengele (1838)

Serbal ni mlima kwenye rasi ya Sinai ambayo iko upande wa Asia, lakini ni ya Misri (nchi ya Afrika).

Urefu wake unafikia mita 2,070 juu ya usawa wa bahari.

Kuna watu wanaodai ndio mlima ambako Musa alipopokea Amri Kumi[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Merriam-Webster's Geographical Dictionary, Third Edition. Springfield, Massachusetts: Merriam-Webster, Incorporat]]ed, 1997. ISBN 0-87779-546-0.
  1. Jebel Serbal , tovuti ya Go tell it on the Mountain, blogu kuhusu Rasi ya Sinai.Iliangaliwa Novemba 2017