Mkoa wa Sedhiou

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Mkoa wa Sédhiou)
Mahali pa sedhiou nchini Senegal
Wilaya za Sedhiou

Mkoa wa Sédhiou ni mkoa mmojawapo nchini Senegal. Makao makuu yako mjini Sédhiou . Eneo la mkoa ni kilomita za mraba 7,341. Wakati wa sensa ya mwaka 2013 mkoa ulikuwa na wakazi 452,944.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Senegal: Administrative division, tovuti ya citypopulation.de, iliangaliwa Januari 2022