Milima Spring

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima Charleston

Milima Spring ni safu ya milima ya Nevada (Marekani).

Urefu wake katika mlima Charleston unafikia hadi mita 3,633 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Milima Spring kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.