Mikel Arteta

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mikel Arteta Amatriain (amezaliwa 26 Machi 1982[1]) ni meneja wa klabu ya Arsenal ya Ligi ya Uingereza, na mchezaji wa zamani wa klabu hio.[2]

Arteta alianza maisha yake ya soka katika klabu ya Barcelona mwaka 1999 lakini kutokana na kupata muda mfupi wa kucheza ulipelekea kuhamia Paris Saint-Germain kwa mkopo mnamo 2001.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Player shirt numbers for 20 Barclays Premier League clubs released". Premier League. 8 August 2015. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 9 August 2015. Iliwekwa mnamo 9 August 2015.  Unknown parameter |url-status= ignored (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help); More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); Check date values in: |date=, |archivedate=, |accessdate= (help)
  2. "Mikel Arteta: Overview". Premier League. Iliwekwa mnamo 3 December 2019.  Check date values in: |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mikel Arteta kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.