Miguel Ferrão

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Miguel Pedro Ho Ferrão (alizaliwa 16 Januari 1996) Ni mchezaji wa mpira wa Kikapu kutoka Afrika Kusini-Ureno wa Cape Town Tigers. Mzaliwa wa Johannesburg, Afrika Kusini, anaiwakilisha Ureno kimataifa.

Kazi ya kitaaluma[hariri | hariri chanzo]

Ferrão alicheza miaka ya kwanza ya uchezaji wake na Egoli Magic ya Ligi ya Kitaifa ya Mpira wa Kikapu (BNL). Katika fainali ya msimu wa 2020–21, alikuwa na pointi 25 na baundi 21 na alitajwa kuwa MVP wa ligi[1].

Tangu 2021, yuko kwenye orodha ya Cape Town Tigers.[2]

Maisha ya timu ya taifa[hariri | hariri chanzo]

Ferrão amecheza na timu ya Ureno ya walio chini ya umri wa miaka 18 na chini ya miaka 20 katika Mashindano yao ya Uropa katika kitengo B.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Reliving the BNL 2020-2021 Unforgettable Season – Basketball National League (en-GB). Iliwekwa mnamo 2022-09-02.
  2. Miguel FERRAO at the ROAD TO BAL 2022 2021 (en). FIBA.basketball. Iliwekwa mnamo 2022-09-02.
  3. Miguel Ferrao Player Profile, Cape Town Tigers - RealGM. basketball.realgm.com. Iliwekwa mnamo 2022-09-02.