Michael Ballack

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Michael Ballack
[[Image:|230px|Michael Ballack]]
Michael Ballack
Jina la kuzaliwa Michael Ballack
Alizaliwa 26 Septemba 1976
Nchi Ujerumani
Kazi yake Mchezaji mpira wa miguu
Tovuti rasmi www.michaelballack.com

Michael Ballack (amezaliwa 26 Septemba 1976 mjini Görlitz katika mkoa wa Saxony, Ujerumani) alikuwa mchezaji mashuhuri duniani wa mpira wa miguu wa Ujerumani na pia kiongozi wa timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Ujerumani. Alichezea katikati uwanjani.

Klabu ya mwanzo kabisa inaitwa Chemnitz,Klabu zingine mashuhuri alichezea ni Bayer Leverkusen na FC Bayern Munich na kwa sasa anachezea Chelsea. Alipata mchezaji bora Ujeruamni mara tatu,mchezaji bora wa katika kati Ulaya na zawadi zingine nyingi. Klabu zote Michael Ballack anazochezea hua anaonekana kiungo muhimu sana katika timu nakuonekana kua anaweza saidia timu kunyakua ubingwa. Nakatika Klabu ya Chelsea anavaa jezi namba 13 na kwenye timu ya Taifa pia ndio namba anayoipenda.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Michael Ballack kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.