Marovoay

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
ramani ya Marovoay

Marovoay ni mji unaopatikana katika mkoa wa Mahajanga nchini Madagaska.

Idadi ya wakazi wake ni takriban 31,253.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Marovoay kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.