Marie Blandine Sawadogo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Marie Blandine Sawadogo ni mbunge wa Bunge la Afrika kutoka Burkina Faso. Sawadogo ni mjumbe wa Bunge la Kitaifa la Burkina Faso anayewakilisha chama cha Congress for Democracy and Progress. Alichaguliwa katika Bunge la Afrika mnamo 2004.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]