Marcel Proust

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Marcl Proust

Valentin Louis Georges Eugène Marcel Proust (10 Julai 1871 - 18 Novemba 1922) alikuwa mwandishi nchini Ufaransa. Alitunga hasa riwaya lakini pia masimulizi mafupi. Kazi yake iliyojulikana zaidi ni À la recherche du temps perdu (Kutafuta wakati uliopotea) ikatolewea kwa mfululizo wa vitabu saba kati ya 1913 hadi 1927.

Viugo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Proust kwenye tovuti[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mwandishi fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Marcel Proust kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.