Mambo moto tv

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mambo Moto tv ni stesheni ya lugha ya Kiswahili iliyoundwa mwaka wa 2021 Nchini Tanzania.

Kipindi[hariri | hariri chanzo]

Inaonyesha vipindi kwa lugha ya Kiswahili. Inapatikana chaneli 140 kwa Dstv na 213 kwa zuku. Vipindi vyake ni kama:

  • Al hayba
  • Aa pke jane aase
  • Piya Albela na vinginevyo