Majadiliano:Wabembe

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Wabembe ni kabila la kikongomani ambalo lina makao yake Fizi, katika Kivu ya kusini D.R.Kongo. Pia ni moja kati ya makabila yaliyo sambaratika Dunia nzima. Wabembe wanapatikana Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, Kongo-Brazzaville, Kigoma Tanzania, Burundi na zehemu zenginezo kama U.S.A.