Nenda kwa yaliyomo

Majadiliano:Vipimo asilia vya Kiswahili

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Maneno yanayosahauliwa?[hariri chanzo]

Baada ya kumaliza makala nimeongea leo hii na vijana nikiwauliza kama wameshwahi kusikia maneno kama Wanda, Morta au Shibiri. Hapana. Hawakusikia. Basi nitakapofika Dar nitafanya jaribio, sokoni nitajaribu kununua machungwa, ratili moja hivi. Tuone! Kipala (majadiliano) 20:40, 28 Machi 2017 (UTC)[jibu]