Majadiliano:Utawala wa Kijiji - Tanzania

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Makala inakosa kichwa cha msingi amabacho kila makala inatakiwa iwe nacho. Kichwa hicho ni pamoja na kutaja nini "Utawala wa Kijiji - Tanzania" halafu maelezo mafupi kwa ajili ya mwongozo au husisho la makala hii. Pia, makala haina hata jamii au category. Angalau angeweka hata jamii:Tanzania ingeleta maana zaidi. Inahitaji kurekebishwa.--Muddyb MwanaharakatiLonga 15:03, 17 Desemba 2009 (UTC)[jibu]

Ewaa! Sasa hapo makala inaeleweka. Kila makala inatakiwa ianze na "JINA LA MAKALA" ni jinsi kadha-kadha-kadha... Basi ndugu umefaulu kwa hili. Kingine, sidhani kama ile JAMII ya DEMOKRASIA pale ni mahali pake. Labda ungetumia Tanzania tu, basi. Labda ingeleta maana zaidi! Hongera!--MwanaharakatiLonga 17:17, 30 Desemba 2009 (UTC)[jibu]