Majadiliano:Ukoloni

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ni jambo gumu kusema ukoloni ni taifa kutawala taifa nyingine. Maana yake "taifa" kisiasa ni istilahi ya juzi tu, imeptikana tangu karne ya 19.

Lakini jina la "koloni" ni asili ya Kiroma yaani miaka 2000 iliyopita. Je,tusemaje?? --172.181.158.250 01:43, 27 Desemba 2005 (UTC)[jibu]