Nenda kwa yaliyomo

Majadiliano:Ugali

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Weka mada
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Latest comment: mwaka 1 uliopita by Muddyb in topic Sima

Samahani sijaelewa sentensi hii: Tonge la ugali hufinyangwa kwa mkono wa kushoto kisha kuchovya kwenye maziwa au mchuzi wa maharage. Kwa mazingira ya kawaida ususani Afrika ya Mashariki, Ugali huliwa kwa mkono wa kulia na sio wa "kushoto". Ila sijui kwa watu wa huko Ulaya chakula wao wanakichukuliaje, lakini kikawaida Ugali mkono wa kulia ni wa kulia na sio kushoto (mara nyingi huwa hovyo) ila sijui namna gani!--Mwanaharakati (majadiliano) 15:16, 16 Aprili 2008 (UTC)Reply

Twataka ushahidi juu ya Kusema kwamba ugali ni neno la Kirundi. Tangu kuzaliwa kwangu na kufuatilia kwangu masuala ya lugha hii, sijwahi kusikia kwamba Ugali ni neno la Kirundi. Tupewe ushahidi. Vinginenvyo, tutaondoa kipengele kile.--Muddyb MwanaharakatiLonga 12:07, 7 Desemba 2009 (UTC)Reply

Unlock

[hariri chanzo]

Can An administrator please Unlock This, The User who locked it is inactive

AguahrzChronist

(majadiliano) 18:29, 31 Januari 2025 (UTC)Reply

Sima

[hariri chanzo]

@Muddyb

Don't you guys ALSO call it "sima", In Coastal Kenya they call it that, But in Mainland Kenya we call it Ugali

AguahrzChronist2.0

(Mtumiaji) 16:41, 8 Mei 2025 (UTC)Reply

@Gayle157 Hapana. Hatuiti. Sote twaita ugali. Kumbe Mombasa waita SIMA? Kweli lahaja ya Kiswahili ni pana. MuddybLonga 17:47, 8 Mei 2025 (UTC)Reply