Majadiliano:Ugali
Weka madaMandhari
Latest comment: mwaka 1 uliopita by Muddyb in topic Sima
Samahani sijaelewa sentensi hii: Tonge la ugali hufinyangwa kwa mkono wa kushoto kisha kuchovya kwenye maziwa au mchuzi wa maharage. Kwa mazingira ya kawaida ususani Afrika ya Mashariki, Ugali huliwa kwa mkono wa kulia na sio wa "kushoto". Ila sijui kwa watu wa huko Ulaya chakula wao wanakichukuliaje, lakini kikawaida Ugali mkono wa kulia ni wa kulia na sio kushoto (mara nyingi huwa hovyo) ila sijui namna gani!--Mwanaharakati (majadiliano) 15:16, 16 Aprili 2008 (UTC)
- Twataka ushahidi juu ya Kusema kwamba ugali ni neno la Kirundi. Tangu kuzaliwa kwangu na kufuatilia kwangu masuala ya lugha hii, sijwahi kusikia kwamba Ugali ni neno la Kirundi. Tupewe ushahidi. Vinginenvyo, tutaondoa kipengele kile.--
MwanaharakatiLonga 12:07, 7 Desemba 2009 (UTC)
Unlock
[hariri chanzo]Can An administrator please Unlock This, The User who locked it is inactive
AguahrzChronist
Sima
[hariri chanzo]Don't you guys ALSO call it "sima", In Coastal Kenya they call it that, But in Mainland Kenya we call it Ugali
AguahrzChronist2.0
(Mtumiaji) 16:41, 8 Mei 2025 (UTC)
- @Gayle157 Hapana. Hatuiti. Sote twaita ugali. Kumbe Mombasa waita SIMA? Kweli lahaja ya Kiswahili ni pana. MuddybLonga 17:47, 8 Mei 2025 (UTC)