Nenda kwa yaliyomo

Majadiliano:Shemasi

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Weka mada
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Latest comment: miaka 18 iliyopita by Muddyb Blast Producer

Bahati nzuri, kila mtu ana namna ya uandikaji wake, vinginevyo isinge julikana ni nani aliyeandika makala hii. Kutokana na mwandiko, yafahamika kwamba aliyeandika makala hii ni Kipala, ingawaje hajaingia ndani wakati wa kuandika makala hii... Na ishatokea sana kwa Nd. Kipala!! Lakini twafurahia ongezeko la makala katika wiki yetu!! Hadi leo tuna makala 6,673 katika wiki hii... Tukaze mwendo....--"Mwanaharakati" (talk) 08:34, 28 Februari 2008 (UTC)Reply

Kwa-kwetu Tanzania, huwa "tunaita kukulupuka". Nimekulupuka ksema Kipala ndiyo kaandika, eti kumbe sio yeye!! Duh, ni Riccardo aliyeandika makala hii. Lakini mwandiko wafanana na wa Kipala!! Kweli duniani watu wawili-wawili....--"Mwanaharakati" (talk) 15:29, 28 Februari 2008 (UTC)Reply