Majadiliano:Shaliaki (kundinyota)

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Asili ya Kiarabu au Kiajemi?[hariri chanzo]

Nimerudisha badiliko lililodai asili ya jina ni Kiajemi; maana imebadilishwa ndani ya marejeo kwa chanzo cha Knappert ambayo si sahihi. Kama kuna chanzo kingine cha kitaalamu, kionyeshwe hapa. Afadhali swali lijadiliwe kwanza.Kipala (majadiliano) 08:05, 1 Desemba 2021 (UTC)[jibu]