Majadiliano:Mzungu
Weka madaMandhari
Latest comment: miaka 18 iliyopita by Kipala in topic Makala
Makala
[hariri chanzo]Muddy ameniomba nisahihishe makala. Basi nimeibadilisha kabisa; si rahisi kwa sababu ni neno ambalo kila mutu analitumia lakini halieleweki vizuri sana kwa undani sijui kama kuna mtaalamu wa lugha aliyeifanyia utafiti matumizi yake. --Kipala (majadiliano) 20:29, 25 Machi 2008 (UTC)