Majadiliano:Marco Masano
Hakuna ruhusa kuandika kuhusu mwenyewe[hariri chanzo]
Marco salaam. Sera ya Wikipedia ni kwamba watu hawaandiki kuhusu wao wenyewe. Nafikiri umefanya makosa bila makusudi, kwa sababu matini haya yamo katika ukurasa wako wa mtumiaji (Mtumiaji:Marco Masano). Makala hii itafutwa. ChriKo (majadiliano) 17:14, 1 Januari 2016 (UTC)