Majadiliano:Marco Masano

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Hakuna ruhusa kuandika kuhusu mwenyewe[hariri chanzo]

Marco salaam. Sera ya Wikipedia ni kwamba watu hawaandiki kuhusu wao wenyewe. Nafikiri umefanya makosa bila makusudi, kwa sababu matini haya yamo katika ukurasa wako wa mtumiaji (Mtumiaji:Marco Masano). Makala hii itafutwa. ChriKo (majadiliano) 17:14, 1 Januari 2016 (UTC)[jibu]