Nenda kwa yaliyomo

Majadiliano:Kunona

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Weka mada
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Latest comment: miaka 15 iliyopita by Muddyb Blast Producer

Ninapendekeza jina la makala libadilishwe na kuwa "unene" kwa sababu lugha ya kunona ni kama ya mshangao hivi kwa Kiswahili. Mfano, he! yule jamaa kanona huyo - ikiwa na maana mambo yake safi, lakini unene inataja maana zote za mwenye fedha na asiye na fedha!--MwanaharakatiLonga 10:17, 11 Juni 2010 (UTC)Reply