Majadiliano:Intaneti

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mimi ninaamini kwamba neno "mtandao" badala ya "intaneti" ni nzuri zaidi. Je, kuna mtu anayejua ushauri wa TUKI ni nini kuhusu neno hili? Marcos 16:30, 9 Machi 2006 (UTC)[jibu]

"Mtandao" ni rasmi - hata kama vijana wengine (na zaidi Wakenya) hutumia neno "intaneti". --Kipala 17:29, 9 Machi 2006 (UTC)[jibu]
Najua kwamba vijana wanapendelea kusema "intaneti". Lakini tutumie lugha rasmi, au siyo? Marcos 21:04, 19 Oktoba 2006 (UTC)[jibu]