Majadiliano:Bunge la Tanzania

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kuna mtu leo ameondoa orodha ya wabunge wa Tanzania katika ukurasa bunge. Hiyo ni sawa, lakini si vizuri kuihamishia humo badala ya kuifuta tu? Au imepitwa na wakati? --Riccardo Riccioni (majadiliano) 15:28, 6 Oktoba 2017 (UTC)[jibu]