Majadiliano:Arusha Poetry Club

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Hii ni makala kuhusu shirika muhimu inayohitaji bado kazi.

  • Hatuwezi kutaja majina kama "Washairi maarufu" bila kuonyesha umaarufu wao.
  • haieleweki je historia ya ushairi wa Tanzania una uhusiano gani na kundi hili - heri kufuta sehemu hii
  • makala haielezi kalbu hii inafanya kazi gani na kwa njia gani
  • ni afadhali kuthibitisha maelezo kwa njia ya tanbihi na vyanzo (mfano: mikutano na washairi wa ng'ambo ilitokea lini na wapi? halafu taarifa ktk gazeti, tovuti)

Kipala (majadiliano) 14:09, 26 Agosti 2018 (UTC)[jibu]