Madonna
Madonna (kwa Kiitalia: My Lady) inaweza kumaanisha:
Ukristo[hariri | hariri chanzo]
- Bikira Maria (mama wa Yesu),ambapo matumizi mengine kwa ujumla yanatokea
- Madonna (sanaa), mchoro wa Bikira Maria
Msanii[hariri | hariri chanzo]
- Madonna (Msanii), mwimbaji na mwigizaji wa Marekani
- Madonna (albamu), jina la albamu yake ya kwanza
- Madonna (video Schumacher), kusanyo la picha za muziki za runinga
Matumizi mengine katika burudani[hariri | hariri chanzo]
- Madonna (studio), picha za runinga za watu wazima za Kijapani (AV) kampuni yenye makao yake mjini Tokyo
- "Madonna" ilikuwa aina ya kukata nywele iitwayo bob Marekani katika miaka ya 1920.