Madar Hersi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Sultan Madar Hersi Deria (kwa Kisomali: Madar Xirsi Diiriye) alikuwa mtawala wa sehemu ya Somalia na Sultani wa 7 wa Habr Yunis.[1][2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. The Collapse of the Somali State The Impact of the Colonial Legacy, Issa Salwe uk.14
  2. Somaliland; being an account of two expeditions into the far interior, Charles Alexander Peele, uk.174
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Madar Hersi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.