Roseau : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d robot Adding: pms:Roseau
d robot Adding: oc:Roseau
Mstari 35: Mstari 35:
[[no:Roseau]]
[[no:Roseau]]
[[nov:Roseau]]
[[nov:Roseau]]
[[oc:Roseau]]
[[pl:Roseau]]
[[pl:Roseau]]
[[pms:Roseau]]
[[pms:Roseau]]

Pitio la 16:25, 15 Desemba 2007

Roseau
Faili:Roseau na bandari pamoja na meli ya utalii.jpg
Roseau na bandari pamoja na meli ya utalii

Roseau ni mji mkuu wa nchi ya kisiwani ya Dominica katika Karibi. Ni mji mdogo mwenye wakazi 14,000.

Iko upande wa magharibi wa kisiwa (kwenye 15°18'N - 61°23'W). Mji ulianzishwa na Ufaransa wakati wa karne ya 18 una majengo ya zamani za Wafaransa na pia za kisasa.