Demokrasia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 136 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q7174 (translate me) |
d All info is kept in Wikidata, removed: {{Link FA|he}} using AWB (10903) |
||
Mstari 5: | Mstari 5: | ||
[[Jamii:Aina za serikali]] |
[[Jamii:Aina za serikali]] |
||
{{Link FA|he}} |
Pitio la 21:42, 22 Aprili 2015
Demokrasia (ni neno kutoka lugha ya Kigiriki, demokratia maana yake utawala wa watu) ni aina ya serikali. Kwenye demokrasia, watu fulani wa kwenye jumuia wanamchagua kiongozi wao. Kuna njia nyingi za kufanya hivi, lakini mchakato kamili kikawaida huitwa kushikilia uchaguzi.
Vyama vya kisiasa] uhusika na masuala ya kisiasa. Yaonekana kwamba yaweza kuwa rahisi kuwa na chama cha kisiasa. Chama kitakachoshinda uchaguzi watamchagua kiongozi wanayemtaka.