Kimalagasy : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d rekebisha kiungo
d →‎Viungo vya nje: +viungo vya OLAC na Glottolog using AWB
Mstari 2: Mstari 2:


==Viungo vya nje==
==Viungo vya nje==
*[http://www.ethnologue.com/language/mlg lugha ya Kimalagasy kwenye Ethnologue]
*[http://www.language-archives.org/language/mlg makala za OLAC kuhusu Kimalagasy]
*[http://glottolog.org/resource/languoid/id/mala1537 lugha za Kimalagasy katika Glottolog]
*[http://www.ethnologue.com/language/mlg lugha za Kimalagasy kwenye Ethnologue]


{{mbegu-lugha}}
{{mbegu-lugha}}

Pitio la 20:29, 24 Machi 2015

Kimalagasy ni mlolongo wa lugha za Kiaustronesia nchini Madagaska inayozungumzwa na Wamalagasy. Lugha za Kimalagasy hasa ni Kiantankarana, Kibara, Kibetsimisaraka-Kaskazini, Kibetsimisaraka-Kusini, Kimasikoro, Kisakalava, Kimalagasy Sanifu, Kitandroy-Mahafaly, Kitanosy, Kitesaka na Kitsimihety. Idadi ya wasemaji wote wa lugha za Kimalagasy imezidi watu milioni 16. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, lugha za Kimalagasy iko katika kundi la Kibarito.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kimalagasy kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.