Port Bell : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 6 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q492275 (translate me) |
|||
Mstari 10: | Mstari 10: | ||
[[Jamii:Kampala]] |
[[Jamii:Kampala]] |
||
[[Jamii:Wilaya ya Kampala]] |
[[Jamii:Wilaya ya Kampala]] |
||
[[de:Port Bell]] |
|||
[[en:Port Bell]] |
|||
[[fr:Port Bell]] |
|||
[[he:פורט בל]] |
|||
[[it:Port Bell]] |
|||
[[nds:Port Bell]] |
Pitio la 19:07, 7 Machi 2013
Port Bell ni mji mdogo karibu na Kampala/ Uganda ufukoni wa ziwa la Viktoria Nyanza. Jina la mji limetokana na Sir Hesketh Bell aliyekuwa kamishna (gavana) Mwingereza huko Uganda kuanzia mw. 1905-1909.
Port Bell ni bandari kwa ajili ya Kampala. Feri zinatoka kwenda Jinja, Kisumu na Mwanza.
Kuna viwanda kadhaa kama vile Kiwanda cha Bia cha Uganda Breweries; bia ya Bell Lager inatengenezwa hapa. Kuna pia kiwanda cha pombe kali aina ya Waragi na kiwanda cha chai.