Port Bell : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 6 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q492275 (translate me)
Mstari 10: Mstari 10:
[[Jamii:Kampala]]
[[Jamii:Kampala]]
[[Jamii:Wilaya ya Kampala]]
[[Jamii:Wilaya ya Kampala]]


[[de:Port Bell]]
[[en:Port Bell]]
[[fr:Port Bell]]
[[he:פורט בל]]
[[it:Port Bell]]
[[nds:Port Bell]]

Pitio la 19:07, 7 Machi 2013

Mahali pa Port Bell katika Uganda

Port Bell ni mji mdogo karibu na Kampala/ Uganda ufukoni wa ziwa la Viktoria Nyanza. Jina la mji limetokana na Sir Hesketh Bell aliyekuwa kamishna (gavana) Mwingereza huko Uganda kuanzia mw. 1905-1909.

Port Bell ni bandari kwa ajili ya Kampala. Feri zinatoka kwenda Jinja, Kisumu na Mwanza.

Kuna viwanda kadhaa kama vile Kiwanda cha Bia cha Uganda Breweries; bia ya Bell Lager inatengenezwa hapa. Kuna pia kiwanda cha pombe kali aina ya Waragi na kiwanda cha chai.