Mto Njano : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2+) (Boti: Inarbadilisha sr:Хоангхо hadi sr:Хуангхе
d r2.7.2) (Boti: Inarbadilisha et:Huang He hadi et:Kollane jõgi
Mstari 40: Mstari 40:
[[eo:Flava Rivero]]
[[eo:Flava Rivero]]
[[es:Río Amarillo]]
[[es:Río Amarillo]]
[[et:Huang He]]
[[et:Kollane jõgi]]
[[eu:Ibai Horia]]
[[eu:Ibai Horia]]
[[fa:هوانگ هو]]
[[fa:هوانگ هو]]

Pitio la 17:04, 1 Machi 2013

Mwendo wa Mto Njano au Huáng Hé
Mto Njano mjini Lanzhou

Mto Njano (Kichina Huang He) ni mto mkubwa wa China ya Kaskazini, mto mkubwa wa pili wa China yote na mto mrefu wa nane duniani. Jina limetokana na rangi ya matope ya ardhi unamopita.

Mwendo wake una urefu wa kilomita mnamo 5,000 (viwango mbalimbali hutajwa kati ya kilomita 4,845 hadi 5,464) kuanzia nyanda za juu za Tibet hadi delta yake kwenye Ghuba ya Bohai ambayo ni sehemu ya Bahari ya Mashariki ya China.

Mto Njano umeitwa mara nyingi mto mama wa China na chanzo cha ustaarabu wa Kichina.

Viungo vya Nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya China bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mto Njano kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.