Missouri (mto) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Badiliko: kk:Миссури (өзен)
Mstari 57: Mstari 57:
[[sr:Мисури (река)]]
[[sr:Мисури (река)]]
[[sv:Missourifloden]]
[[sv:Missourifloden]]
[[th:แม่น้ำมิสซูรี]]
[[tr:Missouri Irmağı]]
[[tr:Missouri Irmağı]]
[[uk:Міссурі (річка)]]
[[uk:Міссурі (річка)]]

Pitio la 12:08, 13 Agosti 2012

Ramani ya beseni ya Missouri

Mto Missouri ni mto mkubwa wa Marekani na tawimto muhimu zaidi la Mississippi. Ni mto mrefu kushinda ule wa Missisippi na ni mto mrefu katika Amerika ya Kaskazini.

Chanzo cha mto kipo kwenye milima ya Rocky Mountains katika jimbo la Montana. Missouri inaendelea kupita majimbo ya North Dakota, South Dakota, Iowa, Nebraska, Missouri na Kansas.

Inaishia katika Missisippi karibu na mji wa Saint Louis, Missouri.