George Santayana : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza be:Джордж Сантаяна |
d r2.7.2) (Roboti: Imeongeza simple:George Santayana |
||
Mstari 34: | Mstari 34: | ||
[[pt:George Santayana]] |
[[pt:George Santayana]] |
||
[[ru:Сантаяна, Джордж]] |
[[ru:Сантаяна, Джордж]] |
||
[[simple:George Santayana]] |
|||
[[sk:George Santayana]] |
[[sk:George Santayana]] |
||
[[sl:George Santayana]] |
[[sl:George Santayana]] |
Pitio la 17:40, 22 Juni 2012
George Santayana (16 Desemba, 1863 – 26 Septemba, 1952) alikuwa mwanafalsafa na mwandishi. Akiwa raia wa Hispania alilelewa na kusoma Marekani, kwa hiyo aliandika kwa lugha ya Kiingereza tu na kuangaliwa kama mwandishi Mmarekani. Anajulikana hasa kwa usemi wake "Wasiojifunza kutoka historia watairudia" (kwa Kiingereza: "Those who cannot learn from history are doomed to repeat it").
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu George Santayana kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |