Demokrasia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Badiliko: hy:Ժողովրդավարություն |
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza map-bms:Demokrasi |
||
Mstari 80: | Mstari 80: | ||
[[lt:Demokratija]] |
[[lt:Demokratija]] |
||
[[lv:Demokrātija]] |
[[lv:Demokrātija]] |
||
[[map-bms:Demokrasi]] |
|||
[[mk:Демократија]] |
[[mk:Демократија]] |
||
[[ml:ജനാധിപത്യം]] |
[[ml:ജനാധിപത്യം]] |
Pitio la 20:19, 31 Machi 2012
Demokrasia (ni neno kutoka lugha ya Kigiriki, demokratia maana yake utawala na watu) ni aina ya serikali. Kwenye demokrasia, watu fulani wa kwenye jumuia wanamchagua kiongozi wao. Kuna njia kede-kede za kufanya hivi, lakini mchakato kamili kikawaida huitwa kushikilia uchaguzi.
Vyama vya kisiasa] uhusika na masuala ya kisiasa. Yaonekana kwamba yaweza kuwa rahisi kuwa na chama cha kisiasa. Chama kitakachoshinda uchaguzi watamchagua kiongozi wanayemtaka.