Praha : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: fiu-vro:Praha |
+new pic |
||
Mstari 12: | Mstari 12: | ||
== Picha za Praha == |
== Picha za Praha == |
||
<gallery> |
<gallery> |
||
File:Peter Stehlik 2011.07.29 A.jpg|Uwanda wa Vachlav |
|||
Image:ZPraha-07.JPG|mji wa Kale |
Image:ZPraha-07.JPG|mji wa Kale |
||
Image:Prague - Jerusalemer Synagoge.jpg|Sinagogi |
Image:Prague - Jerusalemer Synagoge.jpg|Sinagogi |
Pitio la 10:43, 27 Machi 2012
Praha (pia: Praga, Prague (tamka: Prag) -Kicheki: Praha) ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Ucheki mwenye wakazi milioni 1.2. Kutokana na uzuri wa majengo yake za kihistoria imeitwa "mji wa dhahabu" au "mji wa minara 100".
Jiografia
Mji uko kando la mto Vltava katika Ucheki ya magharibi. Kitovu cha mji kipo katika pindo la mto kati ya vilima viwili. Mji umeenea zaidi hadi nyanda za juu za jirani. Ndani ya eneo la mji kuna visiwa kadhaa mtoni. Milima ya juu karibi na mji inafikia kimo cha 381 na 385 m.
Viungo vya Nje
Picha za Praha
-
Uwanda wa Vachlav
-
mji wa Kale
-
Sinagogi
-
Hrajin - Boma la Praha
-
Mji na mto
-
Uwanda wa mji wa Kale
-
Kanisa la Mt. Vito
-
Manisipaa ya Kale
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Praha kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |