Christian Anfinsen : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: io:Christian B. Anfinsen
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: fa:کریستین آنفینزن
Mstari 19: Mstari 19:
[[en:Christian B. Anfinsen]]
[[en:Christian B. Anfinsen]]
[[es:Christian B. Anfinsen]]
[[es:Christian B. Anfinsen]]
[[fa:کریستین آنفینزن]]
[[fi:Christian Anfinsen]]
[[fi:Christian Anfinsen]]
[[fr:Christian Boehmer Anfinsen]]
[[fr:Christian Boehmer Anfinsen]]

Pitio la 17:01, 10 Novemba 2011

Christian Anfinsen

Christian Boehmer Anfinsen (26 Machi, 191614 Mei, 1995) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza uhusiano kati ya mfumo wa protini na athari zake mwilini. Mwaka wa 1972, pamoja na Stanford Moore na William Stein alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.


Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Christian Anfinsen kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.