Maginetiti : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: fa:مگنتیت
d r2.6.4) (roboti Nyongeza: kk:Магнетит
Mstari 40: Mstari 40:
[[it:Magnetite]]
[[it:Magnetite]]
[[ja:磁鉄鉱]]
[[ja:磁鉄鉱]]
[[kk:Магнетит]]
[[ko:자철석]]
[[ko:자철석]]
[[lt:Magnetitas]]
[[lt:Magnetitas]]

Pitio la 03:03, 24 Julai 2011

Maginetiti kutoka Afrika Kusini

Maginetiti ni madini yenye rangi nyeusi-kijivu yenye tabia ya sumaku. Kikemia ni oksidi ya chuma yenye valensi za 2+ na 3+. Fomula yake ni Fe3+2Fe2+O4.

Inatokea mara nyingi kwa umbo la fuwele zenye urefu wa karibu sentimita 1 na kona 8. Kiwango cha feri (chuma) hufikia asilimia 72 kwa hiyo ni malighafi muhimu kwa kutengeneza chuma.

Viungo vya Nje