Henri Dunant : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Mstari 31: Mstari 31:
[[it:Jean Henri Dunant]]
[[it:Jean Henri Dunant]]
[[ja:アンリ・デュナン]]
[[ja:アンリ・デュナン]]
[[ka:დიუნანი, ანრი]]
[[ka:ანრი დიუნანი]]
[[ko:앙리 뒤낭]]
[[ko:앙리 뒤낭]]
[[la:Henricus Dunant]]
[[la:Henricus Dunant]]

Pitio la 05:00, 8 Julai 2007

Henri Dunant, takriban 1860

Henri Dunant (8 Mei, 182830 Oktoba, 1910) alikuwa mwandishi na mfadhili wa nchi ya Uswisi. Mwaka wa 1859 alianzisha Chama cha Kimataifa cha Msalaba Mwekundu. Pia alisababisha Mapatano ya Geneva. Mwaka wa 1901, pamoja na Frederic Passy, alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.