Demokrasia : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
CGN2010 (majadiliano | michango)
No edit summary
Mstari 80: Mstari 80:
[[ms:Demokrasi]]
[[ms:Demokrasi]]
[[mwl:Democracie]]
[[mwl:Democracie]]
[[my:ဒီမိုကရေစီ]]
[[mzn:دموکراسی]]
[[mzn:دموکراسی]]
[[nah:Tlācatēpacholiztli]]
[[nah:Tlācatēpacholiztli]]

Pitio la 12:41, 9 Novemba 2010

Demokrasia (ni neno kutoka lugha ya Kigiriki, demokratia maana yake utawala na watu) ni aina ya serikali. Kwenye demokrasia, watu fulani wa kwenye jumuia wanamchagua kiongozi wao. Kuna njia kede-kede za kufanya hivi, lakini mchakato kamili kikawaida huitwa kushikilia uchaguzi.

Vyama vya kisiasa] uhusika na masuala ya kisiasa. Yaonekana kwamba yaweza kuwa rahisi kuwa na chama cha kisiasa. Chama kitakachoshinda uchaguzi watamchagua kiongozi wanayemtaka.

Kigezo:Link FA