Kabla ya Kristo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
expand-tag added using AWB |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
{{ongezea|date=Septemba 2010}} |
|||
'''Kabla ya Kuzaliwa kwake Yesu Kristo''' (kifupi: KK) ni namna ya kutaja miaka. |
'''Kabla ya Kuzaliwa kwake Yesu Kristo''' (kifupi: KK) ni namna ya kutaja miaka. |
||
Pitio la 18:50, 4 Septemba 2010
Tafadhali saidia kuboresha makala hii kwa kuipanua. Ili kupata sababu angalia ukurasa wa majadiliano. Makala hii imetiwa alama tangu tarehe Septemba 2010 |
Kabla ya Kuzaliwa kwake Yesu Kristo (kifupi: KK) ni namna ya kutaja miaka.
Hesabu hii imekuwa njia ya kuhesabu miaka inayotumika zaidi duniani siku hizi. Kila mwaka huhesabiwa kuanzia mwaka unaodhaniwa kuwa mwaka wa kuzaliwa kwake Kristo. Miaka iliyofuata baada ya kuzaliwa kwake huitwa Baada ya Kristo au kifupi: BK.
Kuhusu historia ya hesabu hii tazama: Historia ya Hesabu "Kabla ya / Baada ya Kristo"