Giorgos Seferis : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d robot Adding: ro:Giorgos Seferis, ru:Сеферис, Йоргос |
d robot Adding: tr:Giorgos Seferis |
||
Mstari 30: | Mstari 30: | ||
[[ru:Сеферис, Йоргос]] |
[[ru:Сеферис, Йоргос]] |
||
[[sv:Giorgos Seferis]] |
[[sv:Giorgos Seferis]] |
||
[[tr:Giorgos Seferis]] |
|||
[[zh:喬治·塞菲里斯]] |
[[zh:喬治·塞菲里斯]] |
Pitio la 00:08, 16 Machi 2007
George Seferis (13 Machi, 1900 – 20 Septemba, 1971) alikuwa mwanasiasa na mshairi kutoka nchi ya Ugiriki. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giorgios Stylianou Seferiades. Miaka ya 1957-1962 alikuwa balozi Mgiriki kwa Uingereza. Mwaka wa 1963 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |