Wachuuzi wa Data (Soko la Hisa la Nairobi) : Tofauti kati ya masahihisho
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 26: | Mstari 26: | ||
Barua Pepe: knowing@africaonline.co.ke |
Barua Pepe: knowing@africaonline.co.ke |
||
[www.knowing.co.ke] |
[www.knowing.co.ke] |
||
| '''RICH Management Limited'''<br />8th Floor Purshottam Place, Chiromo Road<br />Sanduku la Posta 66217-0800<br /> |
| '''RICH Management Limited'''<br />8th Floor Purshottam Place, Chiromo Road<br />Sanduku la Posta 66217-0800<br />Nairobi, Kenya.<br />Simu: +254 20 3601817<br />Nukunishi: +254 20 3601100<br />Rununu: +254 735 947 214<br />Barua Pepe: info@rich.co.ke<br />[www.rich.co.ke]<br /> |
||
Nairobi, Kenya.<br /> |
|||
Simu-+254 20 3601817<br /> |
|||
Nukunishi- +254 20 3601100<br /> |
|||
Rununu- +254 735 947 214<br /> |
|||
Barua Pepe: info@rich.co.ke<br /> |
|||
[www.rich.co.ke] |
|||
|- |
|- |
||
| '''Information Convergence Technologies''' |
| '''Information Convergence Technologies''' |
Pitio la 07:50, 8 Januari 2010
Kutokana na kuongezeka kwa idadi ya makampuni yaliyosajiliwa katika Soko la Hisa la Nairobi, makampuni za uchuuzi wa data inayotumika kuuza na kununua hisa yameongezeka.
Umuhimu wa Data
Lengo kuu ya kuuza na kununua hisa katika soko ni kupata faida kifedha. Hivyo basi, wafaa kuwa na habari/data yote inayohusiana na hisa ya makampuni uliyonayo na unayotaka kununua. Umuhimu wa data hii kwa wawekezaji wa hisa ni kama vile:
- Wawekezaji wa dhana hutumia data hii kuagua bei ya hisa mbali mbali katika wakati wa karibu ujao
- Mabenki ya uwekezaji hutumia data hii kuchagua makampuni watakayonunua
- Makampuni hutumia data hii sana sana inayolegea upande wa utendaji wa uchumi ili kupanga mienendo yake ya usoni
Asili ya Data
Kama jina inavyoashiria, 'wachuuzi wa data' hushughulika na kueneza kwa data hiyo. Hivyo basi, hukusanya data kutoka kwa asili mbali mbali na kuieneza kwa wanaohitaji kwa mfano, wawekezaji katika soko la hisa. Asili ya data hii ni kama vile:
- Soko la Hisa la Nairobi
- Makampuni ya ubroka
- Mabenki ya uwekezaji
- Ripoti ya mwisho wa mwaka ya makampuni
Orodha ya Wachuuzi wa Data
Jedwali lifwatalo laonyesha makampuni ya uchuuzi wa data nchini Kenya.
Knowing Limited
Norfolk Tower, Block G, 1ST Floor Sanduku la Posta 5831-00100 Nairobi Kenya Simu: 254 20 2211925/26 Nukunishi: 254 20 2211955 Barua Pepe: knowing@africaonline.co.ke [www.knowing.co.ke] |
RICH Management Limited 8th Floor Purshottam Place, Chiromo Road Sanduku la Posta 66217-0800 Nairobi, Kenya. Simu: +254 20 3601817 Nukunishi: +254 20 3601100 Rununu: +254 735 947 214 Barua Pepe: info@rich.co.ke [www.rich.co.ke] |
Information Convergence Technologies
7th Floor, United Insurance Towers Westlands Rd, Off Museum Hill Sanduku la Posta 11797 – 00100 Nairobi, Kenya Simu +254 20 375 4286 Barua Pepe: info@ictkenya.com [www.ictkenya.com] |
Synergy Systems Ltd.
2nd Floor Narshi House Moktar Daddah Street Sanduku la Posta 53475 00200 NAIROBI Simu (020) 240434/340242 Barua Pepe: info@synergy.co.ke [www.synergy.co.ke] |
Standard Group Limited
The Standard Group Center, Mombasa Rd Sanduku la Posta 30080 – 00100 Nairobi Kenya Simu: 3222111 |
Bloomberg L.P
chini ya Nick Ogbourne EMEA Exchange Feeds, Bloomberg LP Office: 44 207 673 2120 Mob: 07866 684404 Barua Pepe: nogbourne@bloomberg.net; exfeeds@bloomberg.net |
Thomson Reuters
No. 1 Mark Square Leonard Street London EC2A 4EG UK Simu: +442070684429 Simu ya Rununu: +447990562549 |
Mobile Planet.
Westlands Office Park (Baobab, 2nd Floor), Waiyaki Way Sanduku la Posta 565 Sarit Centre 00606-Nairobi, Kenya Simu: +254 (20) 4456182, 4456183 Nukunishi: +254 (20) 4456184 Barua Pepe: info@mobileplanet.co.ke |
Royal Media Services
Communication Centre,Maalim Juma Road,Off Dennis Pritt Road Sanduku la Posta 7468-00300 Nairobi,Kenya Simu: + 254 (0) 202721415/6,2718506/7 Nukunishi: + 254 (0) 202724220,2724 211 Simu ya Rununu: +254 (0) 722-202305/ 0735-969696, Barua Pepe:citizen@royalmedia.co.ke |
row 5, cell 5 |
Taratibu ya Toleo Jipya ya Hisa
Taratibu ifwatayo hutumika ili kusajili kampuni katika soko la hisa kupitia toleo jipya la hisa:
- Kampuni inayotaka kujisajili kwenye soko huomba idhini kutoka kwa CMA (Capital Markets Authority)
- Baada ya kupata idhini, Benki ya Uwekezaji huchaguliwa kuongoza toleo hilo
- Taratibu ya ununuzaji kama vile nambari ya hisa mtu anaweza kununua hutangazwa kwa umma
- Walio na nia ya kununua hisa hizo katika umma huwasilisha maombi yao ya hisa kwa kujaza fomu an kuwapa mabroka wao. Hii huendelea hadi siku ya kufungwa kwa kupokea maombi ya hisa
- Maombi yaliyosajiliwa hupitiwa na kisha idadi ya hisa zilizoitishwa hutangazwa kwa umma. Kama idadi hii imepita hisa zilizosajiliwa na kampuni, waliojaza fomu za kununua hisa hawatapata hisa zote walizoomba.
- Hisa huanza kubadili katika soko baada ya kila mtu kupewa hisa alizoomba nao wale waliopewa hisa ndogo ya hile walioyoomba hurudishiwa fedha zao.