Wachuuzi wa Data (Soko la Hisa la Nairobi) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 26: Mstari 26:
Barua Pepe: knowing@africaonline.co.ke
Barua Pepe: knowing@africaonline.co.ke
[www.knowing.co.ke]
[www.knowing.co.ke]
| '''RICH Management Limited'''<br />8th Floor Purshottam Place, Chiromo Road<br />Sanduku la Posta 66217-0800<br />
| '''RICH Management Limited'''<br />8th Floor Purshottam Place, Chiromo Road<br />Sanduku la Posta 66217-0800<br />Nairobi, Kenya.<br />Simu: +254 20 3601817<br />Nukunishi: +254 20 3601100<br />Rununu: +254 735 947 214<br />Barua Pepe: info@rich.co.ke<br />[www.rich.co.ke]<br />
Nairobi, Kenya.<br />
Simu-+254 20 3601817<br />
Nukunishi- +254 20 3601100<br />
Rununu- +254 735 947 214<br />
Barua Pepe: info@rich.co.ke<br />
[www.rich.co.ke]
|-
|-
| '''Information Convergence Technologies'''
| '''Information Convergence Technologies'''

Pitio la 07:50, 8 Januari 2010

Kutokana na kuongezeka kwa idadi ya makampuni yaliyosajiliwa katika Soko la Hisa la Nairobi, makampuni za uchuuzi wa data inayotumika kuuza na kununua hisa yameongezeka.

Umuhimu wa Data

Lengo kuu ya kuuza na kununua hisa katika soko ni kupata faida kifedha. Hivyo basi, wafaa kuwa na habari/data yote inayohusiana na hisa ya makampuni uliyonayo na unayotaka kununua. Umuhimu wa data hii kwa wawekezaji wa hisa ni kama vile:

  • Wawekezaji wa dhana hutumia data hii kuagua bei ya hisa mbali mbali katika wakati wa karibu ujao
  • Mabenki ya uwekezaji hutumia data hii kuchagua makampuni watakayonunua
  • Makampuni hutumia data hii sana sana inayolegea upande wa utendaji wa uchumi ili kupanga mienendo yake ya usoni

Asili ya Data

Kama jina inavyoashiria, 'wachuuzi wa data' hushughulika na kueneza kwa data hiyo. Hivyo basi, hukusanya data kutoka kwa asili mbali mbali na kuieneza kwa wanaohitaji kwa mfano, wawekezaji katika soko la hisa. Asili ya data hii ni kama vile:

Orodha ya Wachuuzi wa Data

Jedwali lifwatalo laonyesha makampuni ya uchuuzi wa data nchini Kenya.

Knowing Limited
 Norfolk Tower, Block G, 1ST Floor
 Sanduku la Posta 5831-00100
 Nairobi Kenya
 Simu: 254 20 2211925/26
 Nukunishi: 254 20 2211955
 Barua Pepe: knowing@africaonline.co.ke
 [www.knowing.co.ke]
RICH Management Limited
8th Floor Purshottam Place, Chiromo Road
Sanduku la Posta 66217-0800
Nairobi, Kenya.
Simu: +254 20 3601817
Nukunishi: +254 20 3601100
Rununu: +254 735 947 214
Barua Pepe: info@rich.co.ke
[www.rich.co.ke]
Information Convergence Technologies
 7th Floor, United Insurance Towers
 Westlands Rd, Off Museum Hill
 Sanduku la Posta 11797 – 00100 Nairobi, Kenya
 Simu +254 20 375 4286
 Barua Pepe: info@ictkenya.com
 [www.ictkenya.com]
Synergy Systems Ltd.
 2nd Floor Narshi House
 Moktar Daddah Street
 Sanduku la Posta 53475 00200
 NAIROBI
 Simu (020) 240434/340242
 Barua Pepe: info@synergy.co.ke
 [www.synergy.co.ke]
Standard Group Limited
 The Standard Group Center, Mombasa Rd
 Sanduku la Posta 30080 – 00100
 Nairobi Kenya
 Simu: 3222111
Bloomberg L.P
 chini ya
 Nick Ogbourne
 EMEA Exchange Feeds, Bloomberg LP
 Office: 44 207 673 2120 Mob: 07866 684404
 Barua Pepe: nogbourne@bloomberg.net;
 exfeeds@bloomberg.net
Thomson Reuters
 No. 1 Mark Square
 Leonard Street
 London EC2A 4EG UK
 Simu: +442070684429
 Simu ya Rununu: +447990562549
Mobile Planet.
 Westlands Office Park (Baobab, 2nd Floor),
 Waiyaki Way
 Sanduku la Posta 565 Sarit Centre 00606-Nairobi,
 Kenya
 Simu: +254 (20) 4456182, 4456183
 Nukunishi: +254 (20) 4456184
 Barua Pepe: info@mobileplanet.co.ke
Royal Media Services
 Communication Centre,Maalim Juma Road,Off
 Dennis Pritt Road
 Sanduku la Posta 7468-00300 Nairobi,Kenya
 Simu: + 254 (0) 202721415/6,2718506/7
 Nukunishi: + 254 (0) 202724220,2724 211
 Simu ya Rununu: +254 (0) 722-202305/ 0735-969696,
 Barua Pepe:citizen@royalmedia.co.ke
row 5, cell 5

Taratibu ya Toleo Jipya ya Hisa

Taratibu ifwatayo hutumika ili kusajili kampuni katika soko la hisa kupitia toleo jipya la hisa:

  • Kampuni inayotaka kujisajili kwenye soko huomba idhini kutoka kwa CMA (Capital Markets Authority)
  • Baada ya kupata idhini, Benki ya Uwekezaji huchaguliwa kuongoza toleo hilo
  • Taratibu ya ununuzaji kama vile nambari ya hisa mtu anaweza kununua hutangazwa kwa umma
  • Walio na nia ya kununua hisa hizo katika umma huwasilisha maombi yao ya hisa kwa kujaza fomu an kuwapa mabroka wao. Hii huendelea hadi siku ya kufungwa kwa kupokea maombi ya hisa
  • Maombi yaliyosajiliwa hupitiwa na kisha idadi ya hisa zilizoitishwa hutangazwa kwa umma. Kama idadi hii imepita hisa zilizosajiliwa na kampuni, waliojaza fomu za kununua hisa hawatapata hisa zote walizoomba.
  • Hisa huanza kubadili katika soko baada ya kila mtu kupewa hisa alizoomba nao wale waliopewa hisa ndogo ya hile walioyoomba hurudishiwa fedha zao.

Angalia pia

Viungo vya nje