Kichakato kikuu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 15: Mstari 15:
|3. Main Memory
|3. Main Memory
|-
|-
|4. Utengenezwaji
|4. Aina za Bongo Kuu
|-
|5. Upatikanaji
|-
|-
|}
|}

Pitio la 12:01, 17 Novemba 2009

CPU ya Intel

Bongo kuu (pia: CPU, kifupi cha Kiingereza "central processing unit") ni sehemu muhimu ndani ya tarakilishi.

Ni kweli bongo la mashine kwa sababu kila sehemu ya tarakilishi inahitaji CPU kwa njia fulani ikitekeleza shughuli zake.

Ina sehemu tatu ambazo ni muhimu kwa utenda kazi wake. Nazo ni:

Sehemu tatu za Bongo Kuu
1. Arithmetic Logic Unit (ALU)[1]
2. Contol Unit
3. Main Memory
4. Utengenezwaji
5. Upatikanaji

[2] 2.Control Unit 3.Main Memory

1.Arithmetic Logic Unit(ALU)

Hii ni sehemu muhimu ya Bongo Kuu inayoandaa taarifa zote za kihisabati. Taarifa hizi zaweza kuwa hesabu za kujumlisha au kutoa.

2.Control Unit

Sehemu hii ya Bongo Kuu inaratibu vifaa vyote vinavyoingiza na kutoa taarifa mbalimbali katika kompyuta. Vifaa hivi vyaweza kuhusisha scrini, bao bonye, puku au kipanya, machine ya kutoa nakala, mashine ya kuingiza nakala ya taarifa kwenye kompyutya na nyinginezo nyingi.

3.Main Memory

Kwa kawaida Bongo kuu huhitaji kiasi fulani cha kumbukumbu ambayo hurahisisha uhifadhi wa taarifa mbalimbali mara zinaposubiri nafasi ya kuweza kuwekwa katika hali ya mchakato kuziwezesha taarifa hizo kutoa matokeo yaliyokusudiwa. Sehemu hii ni ya muhimu zaidi kwani hurahisisha kazi ya bongo kuu na kuiwezesha kutoa matokeo yaliyokusudiwa kwa muda mfupi kwa kupunguza umbali na muda wa kuzihusisha taarifa mbalimbali wakati wa mchakato

Marejeo

  1. 1. Arithmetic Logic Unit(ALU)
  2. 1.Arithmetic Logic Unit(ALU)


Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kichakato kikuu kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.