Umm al-Quwain : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d jamii |
d roboti Badiliko: mr:उम अल-कुवैन |
||
Mstari 46: | Mstari 46: | ||
[[lmo:Umm al-Quwain]] |
[[lmo:Umm al-Quwain]] |
||
[[ml:ഉം അല് കുവൈന്]] |
[[ml:ഉം അല് കുവൈന്]] |
||
[[mr:उम |
[[mr:उम अल-कुवैन]] |
||
[[nl:Umm al-Qaiwain (emiraat)]] |
[[nl:Umm al-Qaiwain (emiraat)]] |
||
[[no:Umm al-Qaiwain]] |
[[no:Umm al-Qaiwain]] |
Pitio la 07:51, 22 Julai 2009
Umm al-Quwain (Kiar.: أمّ القيوين) ni utemi wa Shirikisho la Falme za Kiarabu kwenye rasi ya Uarabuni.
Iko katika kaskazini ya shirikisho kati ya Ajman na Ras al-Khaimah.
Mtawala wake ni Sheikh Rashid bin Ahmad Al Mu'alla (الشيخ راشد بن احمد المعلا).
Utemi una wakazi 62,000 (2003) katika eneo la 750 km². Haina mapato makubwa kutoka mafuta kama Abu Dhabi hivyo imebaki mji mdogo.
Biashara ya wenyeji ilikuwa uvuwi, kujenga maboti ya dhau na kilimo cha mitende katika oasis ya Falaj al-mula. Leo hii Utalii imekuwa muhimu.
Viungo vya nje
- UAQ24.com - Shopping, Business, Events and more in Umm Al Quwain