Umm al-Quwain : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d jamii
Mstari 46: Mstari 46:
[[lmo:Umm al-Quwain]]
[[lmo:Umm al-Quwain]]
[[ml:ഉം അല്‍ കുവൈന്‍]]
[[ml:ഉം അല്‍ കുവൈന്‍]]
[[mr:उम-अल-कुवैन]]
[[mr:उम अल-कुवैन]]
[[nl:Umm al-Qaiwain (emiraat)]]
[[nl:Umm al-Qaiwain (emiraat)]]
[[no:Umm al-Qaiwain]]
[[no:Umm al-Qaiwain]]

Pitio la 07:51, 22 Julai 2009

Bendera ya Umm al-Quwain
Falme za Kiarabu

Umm al-Quwain (Kiar.: أمّ القيوين) ni utemi wa Shirikisho la Falme za Kiarabu kwenye rasi ya Uarabuni.

Iko katika kaskazini ya shirikisho kati ya Ajman na Ras al-Khaimah.

Mtawala wake ni Sheikh Rashid bin Ahmad Al Mu'alla (الشيخ راشد بن احمد المعلا).

Utemi una wakazi 62,000 (2003) katika eneo la 750 km². Haina mapato makubwa kutoka mafuta kama Abu Dhabi hivyo imebaki mji mdogo.

Biashara ya wenyeji ilikuwa uvuwi, kujenga maboti ya dhau na kilimo cha mitende katika oasis ya Falaj al-mula. Leo hii Utalii imekuwa muhimu.

Viungo vya nje

  • UAQ24.com - Shopping, Business, Events and more in Umm Al Quwain
Magazeti ya Falme za Kiarabu