Auguste Beernaert : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: gl:Auguste Beernaert |
d roboti Badiliko: ru:Беернарт, Огюст |
||
Mstari 32: | Mstari 32: | ||
[[pl:Auguste Beernaert]] |
[[pl:Auguste Beernaert]] |
||
[[pt:Auguste Marie François Beernaert]] |
[[pt:Auguste Marie François Beernaert]] |
||
[[ru: |
[[ru:Беернарт, Огюст]] |
||
[[sv:Auguste Beernaert]] |
[[sv:Auguste Beernaert]] |
||
[[vls:August Beernaert]] |
[[vls:August Beernaert]] |
Pitio la 04:11, 20 Mei 2009
Auguste Marie Francois Beernaert (26 Julai, 1829 – 6 Oktoba, 1912) alikuwa mwanasheria na mwanasiasa kutoka nchi ya Ubelgiji. Kuanzia 1884 hadi 1894 alikuwa Waziri Mkuu na Waziri wa Fedha. Baadaye alikuwa mwakilishi wa Ubelgiji kwenye mikutano ya amani iliyofanyika katika mji wa The Hague mwaka wa 1899 na wa 1907. Mwaka wa 1909, pamoja na Paul d’Estournelles alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |